Beatrice Sosipeter - Vita Hii Ni Ya Bwana

Uk – based gospel minister, songwriter and composer, Beatrice Sosipeter releases a new song titled Vita Hii Ni Ya Bwana (The Battle Is Not Yours). 

Beatrice Sosipeter - Vita Hii Ni Ya Bwana Lyrics

Verse 1
Ni kawaida kuwa na shida maishani, kwenye mwangaza usiogope.
Wakati mwingine unaona, mambo hayaendi, kila unachokifanya, akifanikiwi
Kama kanisani unaenda, zaka na sadaka unatoa, madikini inasaidia.
Biashara zako zimesimama, kazi umeachishwa, unajiuliza umekosea wapi?
Mungu Ee tusaidie, Ee tusaidie Baba Ooo,
Ni kawaida kuwa na shida maishani, kwenye mwangaza usiogope. 
Wakati mwingine unaona, mambo hayaendi, kila unachokifanya, akifanikiwi
Kama kanisani unaenda, zaka na sadaka unatoa, madikini inasaidia.
Biashara zako zimesimama, kazi umeachishwa, unajiuliza umekosea wapi?
Mungu Ee tusaidie Eem tusaidie Baba Ee.

Chorus
Siyo yako, ni ya Mungu,vita hii siyo yako ni ya Mungu (2x)
Vita, siyo yako siyo ya samu na nyama ni ya Baba
Siyo yako ni ya Mungu, vita hii siyo yako ni a Mungu (2x)
Vita hii siyo yako Ooo
Vita hii ni ya Baba
Muachie yeye apigane Ee
Peke yako hutaweza (3x)

Verse 2
Hakuna maumivu unayoyapitia amabyo Yesr hayajui
Huzuni masikitiko unayoyaendea anayatambua yeye Oo
Siyo yako, ni ya Mungu,vita hii siyo yako ni ya Mungu (2x)
Vita, siyo yako siyo ya samu na nyama ni ya Baba
Siyo yako ni ya Mungu, vita hii siyo yako ni a Mungu (2x)
Vita hii siyo yako Ooo
Vita hii ni ya Baba
Muachie yeye apigane Ee
Peke yako hutaweza (3x)

*COPYRIGHT DISCLAIMER*

--------------------------------------------

We do not own this song nor the images featured on this Blog. All rights belong to its original owner/owners. No copyright infringement intended. For promotional purposes only.

Post a Comment

Previous Post Next Post